Bei ya leseni ya udereva | gharama za leseni

Bei au Gharama za Leseni ya udereva ni kama zifuatazo Ada za leseni: Shilingi 70,000/= itakayolipwa kila baada ya miaka 3 Ada ya jaribio la kuendesha: Shilingi 3,000/= Ada za leseni ya muda: Shilingi 10,000/= itakayolipwa kila baada ya miezi 3

guides
25. May 2023
6184 views
Bei ya leseni ya udereva | gharama za leseni

Hizi ni Gharama mpya za leseni ya udereva zinazohitaji zilipiwe ili uweze kuruhusiwa kuendesha vyombo vya moto, Gharama hizi za leseni ya udereva na usajili wa magari zilipanda mwakwa 2019, kwa lengo la kupunguza gharama za kuchapisha leseni kwa miaka mitatu kwani leseni hizo zinaweza kudumu hata zaidi ya miaka mitano. na hii ndio mchanganuo wa gharama zake.

Ada za leseni Tsh 70,0000
Ada jaribio la kuendesha Tsh 3000
Ada za leseni ya muda Tsh 10,000
Usajili wa magari Tsh  50,0000

Kama bado hujafahamu jinsi ya kupata leseni ya udereva unaweza kusoma makala hio nilikuwekea kwenye link.

Leseni ya udereva ni hati rasmi inayotolewa na mamlaka husika, kama vile idara ya usalama barabarani au idara ya leseni ya udereva, kwa mtu anayepata ujuzi na sifa za kuendesha gari kwa njia ya kisheria. Leseni hii inathibitisha kuwa mtu amekidhi mahitaji ya kisheria na amepata mafunzo yanayohitajika kuwa dereva.

Leseni ya udereva ina taarifa muhimu kama vile jina la mmiliki, anwani, picha ya mmiliki, aina za magari ambayo mmiliki ana ruhusa ya kuendesha, na tarehe ya kumalizika muda wa leseni. Leseni ya udereva mara nyingi ina nambari ya kitambulisho ya kipekee ambayo inaweza kutumiwa kwa madhumuni ya kufuatilia na kudhibiti madereva.

Leseni ya udereva inatambuliwa kisheria na hutumika kama uthibitisho wa uwezo wa mtu wa kuendesha gari. Inahitajika kuwa nayo wakati wote wakati wa kuendesha gari ili kuonyesha kuwa mmiliki ana ruhusa ya kuendesha gari kwa mujibu wa sheria.

Kwa ujumla, leseni ya udereva inamaanisha kuwa mtu amepata mafunzo, amefaulu mitihani ya udereva, na amekidhi vigezo vilivyowekwa na mamlaka za usalama barabarani ili kuwa dereva halali.

kama utakua na swali lolote linalohusiana na Gharama au ada za leseni ya udereva unaweza kuchangia mada kwa hii kwa kucomment hapo chini nasi tutakujibu pia fika ofisi za TRA kwaajili ya kupata utaratibu wa kulipia leseni hio.

Comments

No comments has been added on this post

Add new comment

You must be logged in to add new comment. Log in
Im Ibrahim a multifaceted individual with a passion for cars, SEO, and marketing. Ibrahim is an Expert in the Automotive sector.
Cars, Marketing, SEO
Categories
Toyota
Find all information including price, information and news about Toyota cars
guides
car guides
Updates
Resources
You will find downloadable resources in this category, Mostly PDFs
Questions
Get quick answers to all your questions
Lately commented
Thank you
UBOS Census recruitment 2024 U...
SO NICE
UBOS Census recruitment 2024 U...
I like the website so much
UBOS Census recruitment 2024 U...
Tanga mjini gharama ya kuvuta maji shingap
Gharama za kuvuta maji 2024 | ...
Are you a professional seller? Create an account
Non-logged user
Hello wave
Welcome! Sign in or register