Aina za magari na bei yake Tanzania

Je ungependa kufahamu Aina mbalimbali za magari na bei yake basi katika nakala hii tutakuwekea taarifa hizo unazo zihitaji endelea kusoma kwa umakini kupata taarifa iliyo kamili.

guides
7. Mar 2023
16706 views
Aina za magari na bei yake Tanzania

Inawezekana unahitahi gari kwa ajili ya matumizi mbalimbali hivyo basi gharama ya gari hutofautiana kulingana na ubora, matumizi na kampuni ya kutengeneza gari hio. Mfano kampuni ya Toyota hutofautiana bei na kampuni ya kutengeneza magari ya Mercedez benz kwa sababu mbalimbali moja wapo ni ubora.

Sasa bila kupoteza muda nimezigawa Aina za magari katika sehemu kuu tatu nayo ni:-

  1. Gari ndogo
  2. Size ya kati (SUV)
  3. Magari makubwa

Gari ndogo

Gari ndogo hii hujumuisha magari kama Toyota IST, vitz, corolla na gari zenye muundo wa Tax. gari hizi ni nzuri kwa safari zisizo hitaji kusafiri umbali mrefu maranyingi hutumika kama chombo cha usafiri (uber na bolt)

Hii ni Aina za gari  zenye bei ndogo sana, na hupatikana kwa wingi wastani wa bei wa magari haya ni TSH 10M-25M ikiwa mpya.

Gari hizi zinasifa ya kutumia mafuta kidogo hivyo huokoa muda na fedha ambao ungeutumia kupanga foleni sheli ingawa magari haya sio imara.

Size ya kati

Gari hizi huitwa SUV yaani sport utility vehicles Magari haya ni mazuri kwa safari zenye umbali mrefu na mfano wa gari hizi ni kama Toyota Landcruiser Hardtop, ALPHARD, V8, Range rover na NK, magari haya ni gharama sana. 

magari haya husifika kwa kua na nguvu ya injini na kunywa Mafuta mengi. kama utahitaji gari kwa ajili ya safari zako kwenda mikoa mbali mbali na familia basi ,Gari za aina hii zitakufaa sana.

Wastani wa bei za magari haya ni TSH 30M-200M zikiwa mpya

mfano Gari kama V8 huuzwa zaidi ya Tsh 100M, hhivyo basi magari haya maranyingi  haya tumiki katika biashara bali matumizi ya kiserikali na binafsi.

Magari makubwa

Hii aina ya magari hujumuisha magari kama lory, mabasi, na kadhalika magari haya maranyingi hutumika kwaajili ya bishara na huuzwa kwa bei kubwa sana, ina injini zenye ujazo mkubwa kwahiyo hata utumiaji wake wa mafuta hua ni mkubwa zaidi.

magari haya ni kama scania, mabasi ya yutong, fuso na mengineyo.

wastani wa bei za magari haya ni TSH 100M- 200M ikiwa mpya

hivyo basi aina za gari utakayo taka kuinunua pia hutegemea na matumizi yako. niambie kwenye comment section hapo chini ni aina ipi ya Gari unaikubali nami nitakujibu kwa haraka pia kama una uza au unahitaji kununa magari kwa bei poa tembelea tovuti yetu na uweke tangazo lako bure.

Aina hizi za magari tulizokuwekea ni za bei tofauti tofauti, hivyo basi ni wewe utachagua unayo ona inakufaa zaidi pia, kama umependezwa na nakala hii basi tuambie kwenye comment hapo chini.

Comments

No comments has been added on this post

Add new comment

You must be logged in to add new comment. Log in
Im Ibrahim a multifaceted individual with a passion for cars, SEO, and marketing. Ibrahim is an Expert in the Automotive sector.
Cars, Marketing, SEO
Categories
Toyota
Find all information including price, information and news about Toyota cars
guides
car guides
Updates
Resources
You will find downloadable resources in this category, Mostly PDFs
Questions
Get quick answers to all your questions
Lately commented
Thank you
UBOS Census recruitment 2024 U...
SO NICE
UBOS Census recruitment 2024 U...
I like the website so much
UBOS Census recruitment 2024 U...
Tanga mjini gharama ya kuvuta maji shingap
Gharama za kuvuta maji 2024 | ...
Are you a professional seller? Create an account
Non-logged user
Hello wave
Welcome! Sign in or register