Mishahara ya askari magereza

Kulingana na utafiti tuliofanya kutoka vyanzo mbali mbali askari wa magareza wanapata mishahara kama ifuatavyo kwa askari Magereza asiye na cheo chochote mshara wa ke ni 400,000 kwa askari mwenye cheo kwanzia koplo, sajini na staff sajenti inaweza ikawa ni kuanzia 600,000 na kuendelea Mishahara ya askari magareza hulipwa kulingana na cheo.

Updates
29. Apr 2023
5140 views
Mishahara ya askari magereza

Mshahara wa askari magereza ni kati ya Tsh 400,000  hadi Tsh 600,000 Na hulipwa kulingana na vyeo

Askari magereza ni watumishi wa serikali ambao wanafanya kazi katika magereza kusimamia na kutekeleza majukumu yote yanayohusiana na utawala wa gereza na usalama wa wafungwa. Majukumu yao yanaweza kujumuisha kulinda usalama na amani ya magereza, kusimamia shughuli za wafungwa, kuhakikisha utaratibu wa magereza unafuatwa, kusimamia mpango wa lishe ya wafungwa, kutoa huduma za afya kwa wafungwa na kusimamia vifaa vya magereza. Pia, wanaweza kushiriki katika kazi za uchunguzi wa uhalifu ndani na nje ya magereza.

Fahamu kua mishahara ya askari polisi ina tofautiana na wa  magereza kuanzia ufanyaji kazi, mafunzo pamoja na vitu vingine vingi tu.

Mafunzo ya askari magereza

ili uwe askari magereza na uanze kulipwa mshahara unahitaji kupatiwa mafunzo na baada ya kufaulu askari magereza hupata mafunzo maalum ya kijeshi na kitaalamu ili kuwawezesha kufanya kazi yao kwa ufanisi na uadilifu. Mafunzo haya yanajumuisha mafunzo ya kijeshi, sheria na taratibu za magereza, utaratibu wa utawala wa magereza, utunzaji wa wafungwa, ulinzi na usalama, mafunzo ya kujikinga na kuzuia magonjwa, mafunzo ya kutoa huduma ya kwanza, na mafunzo ya maadili na utawala bora.

Mafunzo haya hutolewa na Chuo cha Magereza Tanzania  kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza Tanzania (Tanzania Prisons Service). Baada ya mafunzo hayo, askari magereza huwa na ujuzi na maarifa ya kutosha kufanya kazi yao kwa ufanisi na uadilifu, na wanakuwa tayari kuanza kazi katika magereza yoyote nchini Tanzania.

soma pia:-

Mshahara wa stephane aziz ki wa yanga

 

Comments

No comments has been added on this post

Add new comment

You must be logged in to add new comment. Log in
Im Ibrahim a multifaceted individual with a passion for cars, SEO, and marketing. Ibrahim is an Expert in the Automotive sector.
Cars, Marketing, SEO
Categories
Toyota
Find all information including price, information and news about Toyota cars
guides
car guides
Updates
Resources
You will find downloadable resources in this category, Mostly PDFs
Questions
Get quick answers to all your questions
Lately commented
Thank you
UBOS Census recruitment 2024 U...
SO NICE
UBOS Census recruitment 2024 U...
I like the website so much
UBOS Census recruitment 2024 U...
Tanga mjini gharama ya kuvuta maji shingap
Gharama za kuvuta maji 2024 | ...
Are you a professional seller? Create an account
Non-logged user
Hello wave
Welcome! Sign in or register